Monday, October 14, 2013

Anguko kuoneshwa AAFF Arusha


Filamu fupi ya Anguko imechaguliwa kuoneshwa katika tamasha la kimataifa la filamu za kiafrica ambalo litafanyika huko Arusha. Tamasha hili la Arusha African film (AAFF) linategemewa kufunguliwa rasmi tarehe siku ya Ijumaa 29 Novemba, 2013 na kumalizika siku ya Jumapili tarehe 1 Decemba, 2013.

Edgar Ngelela ambaye ni Producer na Director wa filamu hiyo fupi alikaririwa akisema kuwa hii ni nafasi nyingine ya pekee kabisa kwa watu wa Arusha na wale ambao aidha hawakwenda au hawakupata nafasi kuiona katika tamasha la kimataifa la majahazi la Zanzibar (ZIFF) kuiona.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...