Monday, October 14, 2013

Anguko (The fall) in Arusha at the AAFF

The Short fiction film Anguko has been selected as one of the films that will be showcased in the 2nd Arusha African Film Festival (AAFF). The festival is scheduled to officially open on Friday 29th November, 2013 and close down on Sunday 1st December, 2013.

Edgar Ngelela who is the Producer and Director of the film said that this is an opportunity for the people the people and another chance for those who missed or never had a chance to see the film in the Zanzibar International Film Festival (ZIFF).

Anguko kuoneshwa AAFF Arusha


Filamu fupi ya Anguko imechaguliwa kuoneshwa katika tamasha la kimataifa la filamu za kiafrica ambalo litafanyika huko Arusha. Tamasha hili la Arusha African film (AAFF) linategemewa kufunguliwa rasmi tarehe siku ya Ijumaa 29 Novemba, 2013 na kumalizika siku ya Jumapili tarehe 1 Decemba, 2013.

Edgar Ngelela ambaye ni Producer na Director wa filamu hiyo fupi alikaririwa akisema kuwa hii ni nafasi nyingine ya pekee kabisa kwa watu wa Arusha na wale ambao aidha hawakwenda au hawakupata nafasi kuiona katika tamasha la kimataifa la majahazi la Zanzibar (ZIFF) kuiona.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...