Tuesday, April 30, 2013

A mother of two artists (Maybe more)

Mrs. Hilda Luhende during her arrival at the Mwalimu Julius Nyerere International Airport
Today I present to you the mother of two bright upcoming artists. Edgar Ngelela (llenx) and Benedict (Bennysofar) Ngelela. When we ask ourselves about the reasons as to why we are artists, we look at our mother and late father. Just look at her. You can tell she is an artist!

The picture above was taken during her arrival at the Mwalimu Julius Nyerere International Airport. She was coming from South Africa after she won a kwea pipa na Coca Cola ticket to go watch a world cup match. This was in the year 2010.

Friday, April 5, 2013

Da' Voices wakielekea level nyingine

Kundi la Da'voice ambalo linaundwa na Eddy Da'voice (e' voice au eclofex), llenx Da'voice na Seki B limekuwa katika michakato ya kujiweka sawa na kupanuka zaidi. Sasa kundi hili linajivunia kuwa na vitengo mbali mbali ambavyo vinakuwa siku hadi siku. Vitengo hivi ni studio ya kurekodi muziki ambayo inajulikana kwa jina la Da'voice Records na studio ya video inayojulikana kwa jina la Keen Insights productions.

Eddie Da'voice akiwa kazini ndani ya Studio za Da'voice Rec.

Logo ya Studio za Keen Insights productions ambazo ziko chini ya Da'voice
English version:
The above pictures describe some of the achievements of Da'voice's members. This achievements are meant to make Da'voice members move to a different level. The group includes Eddy Da'voice, llenx Da'voice and Seki B.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...